Episode 13b: Raia wa Eritrea wanahitaji uhuru wao Sasa, Dunia tuungane kuwakombea (October 18, 2020)
![Episode 13b: Raia wa Eritrea wanahitaji uhuru wao Sasa, Dunia tuungane kuwakombea (October 18, 2020)](https://d3wo5wojvuv7l.cloudfront.net/t_square_limited_480/images.spreaker.com/original/32477e14bf2448d0d6008f54184e78d1.jpg)
Descarga y escucha en cualquier lugar
Descarga tus episodios favoritos y disfrútalos, ¡dondequiera que estés! Regístrate o inicia sesión ahora para acceder a la escucha sin conexión.
Descripción
Raia wa Eritrea wanahitaji uhuru wao Sasa, Dunia tuungane kuwakombea. Eritrea ni taifa lililopitia historia ngumu sana kutafuta uhuru wake. Ilipoupata, viongozi wake sasa wanautumia kuwanyanyasa na kuwakandamiza raia wasio...
mostra másEritrea ni taifa lililopitia historia ngumu sana kutafuta uhuru wake. Ilipoupata, viongozi wake sasa wanautumia kuwanyanyasa na kuwakandamiza raia wasio na hatia.
Serikali ya Eritrea haina bunge lenye mamlaka wala Mahakama. Ukikamatwa na polisi, hiyo ndio hukumu yako. Duniani, tupaswa kuisaidia nchi hii, kwani hakuna ATM wala huwezi kununua laini ya simu ya mkononi.
Kwani Eritrea sio sehemu ha ulimwengu huu, Haki za binadamu zinakiukwa sana na haziheshimiwa. Tupaze sauti, Raia wa Eritrea wanateseka sana. (October 18, 2020)
Información
Autor | WCAT Radio |
Página web | - |
Etiquetas |
Copyright 2024 - Spreaker Inc. an iHeartMedia Company